vendredi 6 septembre 2013

Maseneta Marekani waridhia kushambuliwa kwa Syria

Thursday 05 septemba 2013
Bunge la Uingereza likijadilia hali ya Syria
REUTERS
Na Edmond Lwangi Tcheli
 
Hivi karibuni maseneta wa Marekani waliidhinisha pendekezo la Marekani kuishambulia Syria kutokana na matumizi ya silaha za kemikali. Makala ya Habari Rafiki leo hii itaangazia hali ya mambo nchini Syria huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea na harakatika za kusaka amani nchini humo.
tags : Marekani - Syria

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire