lundi 30 septembre 2013

Mapigano makali yazuka nchini DRC kati ya Wanajeshi wa FARDC na Wapiganaji wa Kundi la M23

 
Jumamosi 20 julai 2013
Mapigano makali yazuka nchini DRC kati ya Wanajeshi wa FARDC na Wapiganaji wa Kundi la M23 kipindi hiki Marekani ikichungulia kuingia kwenye mgawanyiko wa kibaguzi wa rangi
Wanajeshi wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo FARDC wakiwa kwenye mapambano na Wapiganaji wa Kundi la Waasi la M23 huko Kivu Kaskazini
Wanajeshi wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo FARDC wakiwa kwenye mapambano na Wapiganaji wa Kundi la Waasi la M23 huko Kivu Kaskazini
REUTERS/Kenny Katombe
 
Na Nurdin Selemani Ramadhani
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo FARDC limefanikiwa kuwadhibiti Wapiganaji wa Kundi la Waasi la M23 kwenye mapambano makali yaliyoshuhudiwa Jimboni Kivu Kaskazini na kuchangia dhidi ya wapiganaji wake mia moja ishirini na wanajeshi kumi wakipoteza maisha, Wananchi wa Misri wameendelea kugawanyika kwa misingi ya kisiasa kutokana na wafuasi wa Mohamed Morsi kuendelea kushinikiza Kiongozi wao arudishwe madarakani na kukataa kutambua mapinduzi yaliyofanyika, Rais wa Kwanza Mzalendo nchini Afrika Kusini na Mpambanaji dhidi ya Ubaguzi wa Rangi Nelson Mandela maarufu kwa jina la Mzee Madiba ametimiza miaka 95 alhamisi hii huku dunia ikienzi harakati zake na Taifa la Marekani huenda likatumbukia kwenye mgawanyiko wa rangi kutokana na wamarekani weusi kuoneshwa kukerwa kwa namna ambavyo hukumu zinatolewa na kuonesha kuna chembechembe za ubaguzi!!

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire